Aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya
Hukumu hiyo imetolewa leo Oktoba 15, 2021, na Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Arusha, Odira Amworo.
Wengine waliohukumiwa katika kesi hiyo ni Sylvester Nyegu na Daniel Mbura.