
Kamanda wea Polisi mkoa wa Arusha ACP Justine Masejo
Taarifa hiyo imetolewa leo Agosti 5, 2021, na Kamanda wea Polisi mkoa wa Arusha Justine Masejo, na kusema kwamba tukio hilo limetokea Agosti 3 mwaka huu majira ya saa 4:00 usiku na watoto wote hao ni wanafunzi wa shule ya msingi Ngoile.
Tazama video hapa chini