
Mshambuliaji wa TP Mazembe, Thomas Ulimwengu
Ulimwengu amesema, bado zipo mechi nyingi kwa Yanga ambayo wakijipanga wanauwezo wa kufanya vizuri na kuendelea mbele.
Ulimwengu amesema, Yanga inakikosi kizuri ambacho kinauwezo wa kupambana na kuweza kupata ushindi mbele ya timu yoyote.
Ulimwengu amesema, wachezaji wa kitanzania wanatakiwa kutoka kwa wingi kwenda kuchezea vilabu vya nje ya nchi ili kuweza kupata wachezaji wengi wa kimataifa.