Ally Baucha, msanii wa muziki na mtayarishaji katika tasnia ya Bongofleva
Kama sehemu pia ya mchango wake katika kuunganisha nguvu kupeleka muziki mbali, Ally Baucha ameeleza kuwa
wameamua kujipanga sasa kutokana na umuhimu wa ushirikiano katika mpango huo, nia ikiwa ni kuinua wanamuziki na muziki kutoka kanda hiyo ya Tanzania ambayo bado ipo chini.




