Ijumaa , 21st Mei , 2021

Klabu ya Yanga imetangaza tarehe ya kufanyika kwa mkutano mkuu wa klabu hiyo, taarifa hiyo iliyotolewa leo imeeleza kuwa mkutano huo utafanyika Juni 27, 2021.

Mwenyekiti wa Yanga Dkt. Mshindo Msolla

Taarifa hiyo ya tarehe ya Mkutano Mkuu imetolewa na Mwenyekiti wa klabu hiyo Dkt. Mshindo Msolla.