Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yakomaa na Morrison

Alhamisi , 14th Jan , 2021

Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Fredrick Mwakalebela amethibitisha kuwa tayari klabu hiyo imeshafanya malipo kwa ajili ya kusikilizwa kwa kesi yao dhidi ya mchezaji Bernard Morrison kwenye mahakama ya usuluhishi wa michezo Duniani CAS.

Klabu ya Yanga inaamini Bernard Morrison ni mchezaji wao halali

Kauli hiyo ameiota muda mchache baada ya Yanga kutwaa ubingwa wa kombe la Mapinduzi hapo jana ambapoMakamu mwenyekiti wa klabu hiyo, Fredrick Mwakalebela aliiambia EATV kuwa wameshafanya malipo kwa ajili ya kesi hiyo.

 

“Jana ilikuwa ni deadline ya malipo, sisi kama klabu ya Yanga tulisema tumedhamilia kupata haki na malipo tulishafanya kwa hiyo tunasubiria kupangiwa kesi itafabyika lini” amesema Mwakalebela

 

Klabu ya Yanga ilikata rufaa kwenye mahakama ya usuluhishi wa michezo Duniani CAS juu ya kutoridhishwa na maamuzi ambayo yalitolewa na kamati ya katiba, sheria na hadhi za wachezaji ya Shirikisho la mpira a miguu nchini TFF, juu ya uhalali wa mkataba wa mchezaji Bernard Morrison na klabu ya Yanga.

 

Ikumbukwe kesi hiyo ilimfanya Morrison kuishinda Yanga na kuachwa kuwa mchezaji huru na baadae akajiunga na klabu ya Sim ba SC.

 

Hapo juzi, Januari 12 ndio ilikuwa siku ya mwisho ya kufanya malipo kwa ajili ya kesi hiyo kupangiwa jaji na siku ya kusikilizwa kwenye mahakama hiyo, ambaye iliweka wazi kuwa mchezaji Bernard Morrison anakesi yakujibu.

 

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa