Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yaliyotokea usiku wa UEFA

Jumatano , 13th Sep , 2017

Msimu wa UEFA 2017/18 umeanza rasmi usiku wa kuamkia leo kwa michezo nane kupigwa huku mambo mbalimbali yakijitokeza zikiwemo rekodi kwa baadhi ya timu pamoja na wachezaji.

Nyota wa Barcelona Lionel Messi kwa mara ya kwanza amefanikiwa kumfunga golikipa wa Juventus Gianluigi Buffon baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa Barcelona wa mabao 3-0. Katika mchezo huo Buffon ametimiza michezo 117 ya UEFA.

Manchester United walikuwa wanarejea kwenye michuano hiyo baada ya kuikosa msimu uliopita na mshambuliaji wake mpya Romelo Lukaku ameingia kwenye orodha ya wachezaji waliofunga katika mchezo wao wa kwanza wa UEFA baada ya kupachika bao moja dhidi ya FC Basel.

Muunganiko wa washambuliaji wa PSG Mbappe, Cavan na Neymar wanaounda 'MCN' wameendelea kufumania nyavu kwa pamoja baada ya kuilaza Celtic 5-0 huku Kylian Mbappe akiweka rekodi ya kuwa mchezaji mdogo zaidi kufikisha mabao 7 katika michuano hiyo.

Chelsea kwa mara ya kwanza imefunga mabao 6 chini ya kocha Antonio Conte baada ya kuifunga Qarabag mabao 6-0. Bayern Munchen wameweka rwekodi ya kushinda michezo 14 mfululizo ya ufunguzi wa hatua ya makundi.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa