Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri Mchengerwa aagiza kukuza soka la Vijana.

Alhamisi , 27th Jan , 2022

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa ameagiza kuanzwa kwa mchakato wa kupata vijana wenye vipaji kila pembe nchini ili waje kuiwakilisha timu ya Taifa siku za usoni kwenye michuano ya Kimataifa.

(Mhe. Waziri wa Michezo, Mohamed Mchengerwa na Kikosi cha Taifa Stars)

"Tunakuja na mkakati kabambe wa kutafuta vipaji kila kijiji nchini nzima. Nimeshaagiza wenzangu kwenye Wizara wajipange kweli kweli”

“Kwahiyo tutakwenda na mkakati wa kutafuta vijana wenye vipaji kwa ajili ya maandalizi ya Soka la Kimataifa. Kama litakuwa soka la Afrika, kama litakuwa soka la Dunialakini maandalizi lazime yaanze sasa" amesema Waziri Mchengerwa.

Waziri huyo wa utamaduni Sana na michezo ameyasema hayo akiwa Rufiji Mkoani Pwani wakati akizungumza na watendaji kuhusu mikakati ya Wizara hiyo katika kukuza Utamaduni, Sanaa na Michezo hapa Nchini.

Sambamba na hilo, Waziri Mchengerewa amewataka Maafisa Utamaduni, Sanaa na Michezo kuhakikisha Michezo na Sanaa inazungumzwa kila mtaa kwa kuwa serikali inafedha ya kutosha kukuza sekta hiyo.

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa