![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2023/10/13/WhatsApp Image 2023-10-13 at 3.41.36 PM.jpeg?itok=jXQvNO8s×tamp=1697208983)
Wachezaji hao wanafanyiwa Uchunguzi ambao ni madai ya kamari ambayo hayajapitia kwa watengenezaji kamari wa kawaida wenye leseni, wakati huo huo kiungo wa kati wa Juventus Nicolo Fagioli nae anafanyiwa uchunguzi wa aina hiyo.
Endapo watakutwa na hatia, wachezaji hao wapo hatarini kufungiwa kujihusisha na soka kwa kipindi cha miaka mitatu.