Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Vitendo vitaongea uwanjani'' Doumbia

Jumanne , 24th Jan , 2023

Beki wa mpya wa klabu ya Yanga Mamadou Doumbia amewaambia mashabiki wa Yanga kuwa yeye sio mtu wa maneno sana bali ataacha vitendo vyake vizungumze uwanjani

Doumbia amesajiliwa na Yanga akitokea katika timu ya Stade Malien ya nchini Mali kwa mkataba wa miaka miwili na nusu.

“Nimefurahi sana kufika hapa, Yanga ni klabu kubwa sana kule Mali, inafatiliwa na watu wengi hivyo kuja hapa ni jambo kubwa sana kwangu kama mchezaji.

“Mimi sio mtu wa maneno sana, kazi yangu ni uwanjani na mashabiki wategemee mazuri kutoka kwangu, nawapenda sana,” alisema Doumbia

 

Yanga imeendeleza rekodi yake ya kufunga bao kwenye kila mechi ya ligi kwa msimu huu, ikifikisha mabao 39.

Ushindi huo  wa jana dhidi ya Ruvu Shooting umewafanya Wanajangwani, Yanga kufikisha alama 53 na kuendelea kukaa kileleni mwa msimamo wa Ligi, pointi sita zaidi ya Simba inayofuata ikiwa nazo 47 nafasi ya pili.

 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri