Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tumewasha moto wa tipa - Kocha Azam FC

Jumapili , 15th Jan , 2017

Kocha Msaidizi wa Azam FC, Idd Nassor Cheche, aliyeiongoza timu hiyo kuchukua ubingwa wa Kombe la Mapinduzi, amesema moto waliouwasha kwenye kwenye michuano hiyo watauendeleza katika michuano ya ligi kuu Tanzania Bara na hakuna wa kuuzima.

Idd Nassoro Cheche

Cheche amesema moto huo waliouwasha ni wa tipa (ule wa kwenye viwanda vya mafuta) na hauwezi kuzimika huku akisema kuwa jambo kubwa lilipelekea mafanikio hayo kwa kikosi chake ni mshikamano, hali ya kujituma kwa wachezaji na kufuata maelekezo yake.

“Unajua unapokuwa binadamu na ukapata mafanikio makubwa kama haya ndani ya muda mfupi lazima uwe na furaha, nawashukuru wachezaji wangu kwa kazi kubwa waliyofanya na mshikamano na hali ya kujituma na jitihada walizozionesha, kwa hakika hivyo ndivyo vilivyotupa ubingwa,” alisema.

Kocha huyo aliyekuwa akisaidiana na Kocha wa Makipa Idd Abubakar, kufanya kazi hiyo kubwa hadi kufikia mafanikio hayo, kuanzia kwenye ligi watakuwa chini ya Kocha Mkuu mpya, Mromania Aristica Cioaba, aliyechukua mikoba ya Mhispania Zeben Hernandez, aliyesitishiwa mkataba pamoja na benchi lake zima la ufundi.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa