Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Tujiandae kisaikolojia' - Etienne Ndayiragije

Jumapili , 4th Aug , 2019

Kaimu kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Etienne Ndayiragije amesema wamejipanga kuhakikisha kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania kinafanya vizuri leo dhidi ya wenyeji Kenya katika kuwania kufuzu michuano ya CHAN.

Ndayiragije ametoa kauli hiyo baada ya kikosi cha timu kuwasili nchini Kenya kwa ajili ya kuivaa Harambee Stars baada ya mchezo wa kwanza timu hizo kutoka sare ya bila kufungana Jijini Dar es Salaam.

"Nimeona wachezaji wote wako vizuri kiafya na nimeongea nao, kwa sababu hii mechi tunahitaji kujiandaa kisaikolojia, kwa sababu tunahitaji kutumia nguvu nyingi. Tunaimani maandalizi yameenda vizuri na kila kitu kiko sawa.", amesema Etienne.

Kwa upande wake Rais wa TFF Wallace Karia, amesema wamewatimizia mahitaji yote ya kikosi cha timu ya taifa na wameridhishwa na ushirikiano wa benchi la ufundi na wachezaji, kilichobakia ni  kumuomba Mungu.

Mchezo wa kwanza uliopigwa jijini Dar es salaam Julai 24 katika Uwanja wa Taifa, Stars ilishindwa kutumia vema uwanja wake wa nyumbani lakini kupitia mchezo wa marudiano bado idadi kubwa ya wapenzi wa soka wanaipa nafasi kubwa Taifa Stars ya kuibuka na ushindi kwenye mnchezo huo.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa