Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tisa wajitokeza kuwania nafasi za uongozi TFF

Alhamisi , 10th Jun , 2021

Jumla ya watu watano wamejitokeza kuchukua fomu za kuwania nafasi ya Urais, katika Uchaguzi wa kuchagua viongozi wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF utakao fanyika Agosti 7, 2021 mkoani Tanga. Wengine wanne wamechukua fomu za kuwania nafasi za ujumbe wa kamati ya Utendaji.

Walio chukua fomu kuwania nafasi ya Urais ni Rais aliyopo madarakani anayetetea nafasi yake Wallace Karia, Evans G Mgeusa, Zahor Muhammad Haji, Oscar Oscar na Deogratus Mutungi.

Kwa upande wa wale waliochukua fomu kuwania nafasi ya ujumbe wa kamati ya Utendani ya TFF ni Lameck Nyambaya Liston Katabazi na Michael Petro hawa wote kutoka kanada namba moja (1) ya Dar es salaam, Lindi, Morogoro, Mtwara na Pwani , na kutoka kanda namba mbili (2) inayoundwa na mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga aliyechukua fomu ni Khalid Abdallah Mohamed pekee.

Jumla ya nafasi zinazowaniwa katika uchaguzi huu ni nafasi sabau nafasi moja ya Rais na nafasi sita za Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF. Zoezi la kuchukua fomu bado linaendelea mpaka Juni 12, Saa 10 jioni ndio itakuwa mwisho.

 

HABARI ZAIDI

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji