
Akizungumza na Kipenga ya EA Radio hii leo, Afisa Habari wa TFF Alfred Lucas amesema pamoja na uamuzi huo pia wamepeleka waangalizi maalum na wa siri katika michezo yote ikiwemo ya ligi daraja la pili SDL la kwanza FDL na ya ligi kuu VPL.
Msikilize hapa Alfred Lucas akizungumza na Kiberenge wa kipindi cha Kipenga