Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Teknolojia mpya ya ‘Offside’ kutumika WC Qatar

Ijumaa , 1st Jul , 2022

Shirikisho la Soka Duniani ‘FIFA’ limethibitisha kuwa litatuma teknolojia mpya yenye utaalam wa hali ya juu ya kutambua mchezaji atakayeotea ‘Offside’ kwenye michuano ya kombe la Dunia inayotaraji kuanza Novemba 21, 2022 Nchini Qatar.

Gianni Infantino - Rais wa FIFA

Teknolojia hiyo itahusisa uwepo wa ‘sensor’ yaani kifaa maalumu cha kuhisi kitu kitakachowekwa ndani ya mpira huku kikiwa na uwezo wa kutuma taarifa mara 500 kwa sekunde kwa kusoma uelekeo halisi wa mpira.

Mbali na ‘Sensor’, lakini kutakuwa na kamera maalumu 12 ambazo zitawekwa kwenye kila paa la uwanja kwa ajili ya kufuatilia mwendo wa kutoka kwenye mwili wa kila mchezaji kwa kutuma taarifa mara 50 kwa sekunde kwa mchezaji aliye na mpira kwa wakati husika.

Mchezaji yeyote akiwa kwenye nafasi ya kuotea ‘Offside’ taarifa ya tahadhari itatumwa katika chumba cha waamuzi wasaidizi kwa njia ya video ambapo waamuzi hao watatuma taarifa haraka kwa mwamuzi wa kati ili imsaidie afanye maamuzi.

Mfumo huo ulijaribiwa katika michezo ya kombe la Dunia la vilabu msimu wa mwaka jana ambapo ilikadiriwa kupunguza muda uliokuwa unatumiwa na VAR kufanya maamuzi ya ‘Offside’ kutoka sekunde 70 hadi sekunde 25.

Upande wa mkuu wa waamuzi wa FIFA, Pierluigi Collina alisema mfumo huo ni mzuri na sasa uko tayari kwa ajili ya kutumika na waamuzi. Michuano hiyo mikubwa ya soka Duniani itaraji kuanza 21 Novemba 2022 na kutamatika Desemba 18, 2022 nchini Qatar.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani