Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanzania yakiri ratiba ngumu

Ijumaa , 12th Jan , 2018

Shirikisho la Riadha Tanzania kupitia kwa katibu mkuu wake Wilhelm Gidabuday limekiri kuwa wanakabiliwa na ratiba ngumu ya michuano ya kimataifa ya riadha kutokana na wingi wa mashindano lakini wanajipanga kufanya vyema.

Gidabuday amesema timu ya wachezaji 15 itaingia kambini tayari kwa kuanza maandalizi ya mashindano ya Dunia ya nusu marathoni, mashindano ya  Jumuiya ya Madola pamoja na mashindano ya riadha ya London.

''Maandalizi ya michuano yote yanaendelea vizuri, tayari waalimu wanawapa mafunzo binafsi wachezaji ambao wameteuliwa kuingia kwenye kambi na kambi itaanza rasmi Januari 15'', amesema Gidabuday.

Katibu huyo pia amesema wanayapa kipaumbele mashindano yote ikiwemo mbio za London kwani ni muhimu kwa nchi huku akikiri kuwa ratiba ya mashindano ni ngumu kwani mashindano yote yatachezwa mwezi April hivyo watawagawa wachezaji ili kupata wawakilishi katika mashindano yote.

Mashindano ya dunia ya Nusu Marathoni yatafanyika Valencia nchini Hispania huku mashindano ya Jumuiya ya madola yatafanyika Austaralia na mashindano ya London yatafanyika jijini humo nchini Uingereza.

Msikilize zaidi Gidabuday kwenye Video hapo chini

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa