Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tamko la Brazil baada ya Neymar kutofanya mazoezi

Jumanne , 19th Jun , 2018

Shirikisho la soka nchini Brazil CBF limeweka wazi kuwa nyota wa timu Neymar Jr hajafanya mazoezi ya Jumatatu na wenzake kutokana na kuwa na programu maalum na daktari wa timu hiyo.

Hatua hiyo imekuja baada ya nyota huyo pamoja na wenzake wawili Paulinho na Thiago Silva, kukosa mazoezi ya Jumatatu na badala yake kukaa na watalaam wa afya kwaajili ya uchunguzi iwapo wamepata amajeraha.

CFB imesema kwa mujibu wa daktari wa timu Rodrigo Lasmar, Neymar na wenzake hawana shida yoyote na ni kawaida kwa wachezaji kuangaliwa hali yao na watalaam wa maabara ili kuepusha kuwaweka kwenye hatari iwapo wana maumivu.

Neymar alifanyiwa faulo mara 10, katika mchezo dhidi ya Switzerland uliopigwa Jumapili na kumalizika kwa sare ya 1-1. Ikumbukwe kuwa Neymar Jr aliumia mguu wa kulia kwenye klabu yake ya PSG mwezi Februari hali iliyopelekea kukosa raundi ya pili.

Brazil itarejea uwanjani tena kesho Jumatano kucheza na Serbia kwenye mechi yake ya pili katika kundi E. Mpaka sasa Serbia wanaongoza kundi hilo wakiwa na alama 3 baada ya kuanza kwa ushindi dhidi ya Costa Rica.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa