Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Solskjaer aelezea sababu za kumtoa CR7

Jumatano , 15th Sep , 2021

Kocha mkuu wa Manchester United Ole Gunnar Solskjer, ameeleza sababu zilizopelekea kufanya mabadiliko ya kuwatoa Cristiano Ronaldo pamoja na Bruno Fernandes katika mchezo uliomalizika kwa kufungwa 2-1 dhidi ya Young Boys kwenye usiku jana wa ligi ya Mabingwa Barani Ulaya.

Kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer (mwenye koti jeusi) akiwa na Cristiano Ronaldo baada ya kumtoa na kumuingiza Jesse Lingaard.

Mabadiliko hayo yalifanyika baada ya beki wa kulia wa United, Aaron Wan-Bissaka kupewa kadi nyekundu baada ya kumfanyia madhambi Christopher Martins, iliyopelekea mkufunzi huyo kubadilisha mpango pamoja na aina ya uchezaji wa timu yake. 

Solskjear ametabanaisha kuwa alilazimika kufanya hivyo kwakuwa walihitaji kujilinda dhidi ya mashambulizi ya timu pinzani ambapo Ronaldo na Fernandes hakuwa wazuri kwenye nyakati ambazo timu ilipokuwa ikishambuliwa.

Kocha huyo alienda mbali zaidi kwakusema pia alihitaji kuwapumzisha Wareno hao ambao walicheza dakika zote za mchezo wa wikiendi dhidi ya Newcastle pamoja na zile 70 dhidi ya wababe wa Uswizi mjini Bern.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa