Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba na Yanga watambiana matawini

Jumanne , 21st Feb , 2017

Kuelekea katika mpambano wa watani wa jadi Simba na Yanga, viongozi wa matawi mbalimbali ya vilabu hivyo wameendelea kutambiana huku wakiitaka serikali kumchukulia hatua mtu yeyote atakayegundulika kufanya uharibifu katika mchezo huo.

Mashabiki wa Simba na Yanga Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam

Mwenyekiti wa tawi la Mpira Pesa kwa upande wa Simba Ostadh Masoud amesema, mechi zote wanazokutana na Yanga wanaziheshimu na kikosi cha Simba kimejipanga vizuri na kwa umakini ili kuweza kuibuka na ushindi kwani lengo lao hasa ni ubingwa ili kuweza kuiwakilisha nchi katika mashindano ya kimataifa.

"Lazima tuongeze umakini kwasababu Yanga tulimkimbia kwa pointi nane leo hii ametukuta tunatofautiana kati ya pointi moja au mbili kwa hiyo anaonekana kuna kitu anakitaka kwa maana hiyo lazima niwaambie wana Simba hata wachezaji kwa ujumla hii ni fainali na kila mtu ambaye anaamini ana kitu ambacho kitasaidia Simba ishinde kitumike, " amesema.

Kuhusu vurugu, Ostadh amesema "Mimi niwaambie tuu mashabiki kuwa watulivu katika mchezo wa Februari 25, Mwamuzi akishapuliza kipyenga hakuna wa kupinga hata ukienda mahakama kuu, sisi tujikite kuhakikisha timu yetu inashinda na tusitegee kushindwa au sare, " amesema.

Kwaupande wake Katibu wa tawi Yanga la Tandale kwa Mtogole Waziri Jitu amesema, wanaamini wataibuka na ushindi katika mchezo huo kwani kikosi chake ni bora na Simba wasitegemee kama wataweza kubeba pointi tatu katika mchezo huo.

"Sisi tunajiamini na kazi tumeshamaliza tusubiri tuu siku ya jumamosi tufike Uwanjani kuhitimisha, mimi nina timu bora kwani Afrika Mashariki hii ikiangalia timu bora ya kwanza Yanga na inafuatiwa na Azam FC kidogo, " amesema.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa