Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba Bingwa mpya kombe la Mapinduzi 2022

Ijumaa , 14th Jan , 2022

Wekundu wa Msimbazi Simba wameibuka kuwa mabingwa wa Michuano ya kombe la Mapinduzi mwaka 2022 baada ya usiku wa jana Januari 13, 2022 kuifunga Azam 1-0 kwenye dimba la Amani, Visiwani Zanzibar.

(Wachezaji wa SImba wakisheherekea Ubingwa wa Mapinduzi mwaka 2022)

Bao la pekee la ushindi la SimbaSC limefungwa na mshambuliaji wake, Meddie Kagere dakika 56 kwa mkwaju wa penalty baada ya mlinda mlango wa Azam FC, Mathias Kigonya kumkanya Pape Ousmane Sakho ndani ya eneo la 18.

Ubingwa huo umewafanya Simba kubeba kombe hilo mara ya nne, kufuta uteja mbele ya Azam FC wa kupoteza fainali mbili mbele ya Wanalamba lamba hao pamoja na kujiuliza vema walipopoteza 2021 mbele ya watani wao, Yanga.

Kamati ya mashindano ya Mapinduzi iliwapa zawadi Simba ya Shilingi milioni 25 taslimu kwa kuwa bingwa huku Makamu Bingwa, klabu ya Azam walipewa kiasi cha shilingi milioni kumi na tano taslimu.

Mbali na zawadi za Jumla, lakini kamati hiyo iliendelea kutoa tuzo binafsi kwa wachezaji waliofanya vema ambapo, tuzo ya mfungaji bora imeenda kwa Meddie Kagere, Kipa bora, Aishi Manula na Mchezaji bora Pape Sakho wote wa Simba SC.

Henock Inonga Baka alichaguliwa kuwa nyota wa mchezo wa fainali hiyo baada ya kuonesha umahiri mkubwa wa kuzuia mashambulizi ya Azam FC kwa washambuliaji Rodgers Kola na Idris Mbombo.

Tuzo ya mchezaji bora chipukizi imeenda kwa winga Tepsi Evans, kiungo bora imeenda kwa Kenneth Muguna, beki bora Daniel Amoah wote kutoka kikosi cha mabingwa wa Kihistoria wa michuano hiyo, Klabu ya Azam.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke