Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rekodi za Chelsea Kiboko FA Cup, yaipiku Liverpool

Jumamosi , 14th Mei , 2022

Mchezo wa fainali ya kombe la FA (FA Cup) nchini England unaozikutanisha Livepool na Chelsea leo jioni, mchezo unaochezwa katika dimba la Wembley Jiji London England ni fainali ya 141 ya michuano hii mikongwa kabisa Duniani.

Chelsea na Liverpool zinakutana kwenye fainali ya FA Cup kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2012

Liverpool hawajatwaa ubingwa wa michuano hii tangu mwaka 2006 takribani miaka 16 imepita, hivyo kocha Jurgen Klopp anakibarua cha kuhakikisha anawapa furaha mashabiki wa klabu hiyo kwa kushinda taji hili.

Hizi ni baadi ya rekodi za Liverpool na Chelsea kwenye michuano ya kombe la FA (FA Cup)

Hii ni fainali ya 16 ya michuano hii Chelsea wanacheza na wameshinda taji hili mara 8 katika fainali 15 walizocheza mpaka sasa mara ya mwisho wameshinda ubingwa wa michuano hii ilikuwa 2018. Liverpool fainali ya leo ni ya 15 wanacheza na ni mabingwa mara 7 mara ya mwisho kutwaa ubingwa wa michuano hii ilikuwa 2006.

Chelsea wamecheza fainali 4 za FA Cup katika misimu 5 iliyopita lakini wameshinda kombe hili mara 1 tu katika fainali hizo. Na msimu uliopita walifungwa na Leicester City katika mchezo wa fainali.

Mara ya mwisho Chelsea na Liverpool kukutana kwenye fainali ya FA Cup ilikuwa mwaka 2021. The Blues Cheslea walishinda kwa mabao 2-1.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa