Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rekodi za Al Ahly na kocha Mosimane CAFCL

Jumapili , 18th Jul , 2021

Baada ya kuifunga Kaizer Chief magoli 3-0 kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika usiku wa Julai 17, 2021, klabu ya Al Ahly imetwaa ubingwa huo kwa mara ya pili mfululizo.

Al Ahly wakishangilia ubingwa

Mbali na kutwaa mara mbili mfululizo lakini miamba hiyo ya soka kutoka nchini Misri imeendelea kutanua wigo wa rekodi yake ya kuwa mabingwa wa kihistoria wa kombe hilo ambapo sasa wamefikisha mara 10.

Kwa upande wa kocha wa timu hiyo Pitso Mosimane ametwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika mara tatu. Alitwaa ubingwa wake wa kwanza msimu wa 2015/16 akiwa na Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini kisha msimu wa 2019/20 akiwa na Al Ahly na sasa 2020/21 akiwa bado na Al Ahly.

Wachezaji wakishangilia kwa kumbeba kocha Pitso Mosimane

Kaizer Chiefs ambao walikuwa wanacheza fainali yao ya kwanza katika historia yao, walifika hatua wakiacha kumbukumbu ya kuitoa Simba SC ya Tanzania katika hatua ya robo fainali kabla ya kuitoa Wydad Casablanca kwenye nusu fainali.
 

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu