.jpeg?itok=H6Souhkz×tamp=1704983088)
Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Waziri Shekha amesema baada ya kikao kilichofanyika leo Januari 11, 2024 kupitia ufanisi uliofanywa na Msomali na wasaidizi wake wamegundua kwamba mwamuzi huyo hakuwa sahihi kwenye uamuzi wake huo wa kuwapa kona Simba.
Shekha amesema kosa hilo ni la kibinadamu kwani waamuzi nao hufanya makosa ambapo wamebaini ndio kosa pekee alilofanya Msomali ni kwenye mchezo huo wa jana usiku.