Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Okwi atangaza mabadiliko

Jumanne , 5th Dec , 2017

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uganda na klabu ya Simba Emmanuel Okwi baada ya kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa ndani ametangaza kubadili jina analotumia kwenye mitandao ya kijamii.

Okwi ambaye jumamosi iliyopita ametangazwa kuwa mchezaji bora wa ndani ya Uganda wa msimu uliopita wa 2016/17, amebadili kwenye ukurasa wake wa Instagram kutoka lile la awali ambalo alikuwa anatumia (@emmosting) na sasa ametangaza kuanza kutumia jina lake la (@emmanuelokwi).

Jina hilo amelitangaza leo kupitia ukurasa wake huo wa Instagram akiwajulisha mashabiki wake ambapo ameendika, “Tafadhali pokeeni hii taarifa ya jina langu jipya nitakalokuwa natumia”.

Nyota huyo amekuwa kwenye kiwango kizuri tangu msimu uliopita aliporejea kwenye klabu yake iliyomlea na kukuza kipaji chake ya Sports Club Villa ya Uganda kabla ya kutua kwenye klabu ya Simba msimu huu.

Mganda huyo ndiye kinara wa mabao kwenye ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2017/18 baada ya raudni 11. Okwi ana mabao nane na anatarajiwa kurejea dimbani baada ya mapumziko mafupi ya ligi kupisha michuano ya CECAFA Challenge.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji