Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Neymar kupandishwa kizimbani kesi ya rushwa

Jumanne , 21st Feb , 2017

Mchezaji wa Barcelona Neymar na klabu yake watasimama mahakamani katika kujibu mashtaka ya uhamisho wa mchezaji huyo, kutoka klabu ya Santos, baada ya kushindwa rufaa.

Neymar

Kesi hiyo inaihusu kampuni ya uwekezaji ya Brazil DIS, inayomiliki asilimia 45 ya mauzo ya Mbrazil huyo,imelalamika kuwa ilipewa kiasi kidogo cha fedha, wakati Neymar alipouzwa Barcelona kutoka Santos, kwa ada ya £49 mwaka  2013.

Klabu ya Santos, Neymar, Mama yake na kampuni inayomilikwa na wazazi wake, watafikishwa mahakamani.

"Santos FC, Barcelona FC, Neymar, mama yake Nadine Goncalves na N&N, kampuni ya familia, wamepoteza rufaa yao, ya kukataa rushwa na ufujaji," Taarifa ya mahakama kuu ya Hispania, ilisema.

Neymar anaweza kukumbwa na kifungo cha miaka miwili jela na faini ya paundi milioni 8, endapo atapatikana na hatia.

Lakini kwa mujibu wa sheria za Hispania, kifungo chini ya miaka miwili hutolewa na kubaki faini peke yake.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa