Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mzee Akilimali azidi kumchana Niyonzima

Jumamosi , 24th Jun , 2017

Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga, Ibrahim Akilimali amesema hawana wasiwasi wowote juu ya kuondoka kwa kiungo wao  Niyonzima kwa kuwa wapo wengi walishaondoka waliokuwa wazuri katika timu yao akiwamo Sunday Manara na timu iliendelea kufanya vizuri.

Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga, Ibrahim Akilimali.

Mzee Akilimali amebainisha hayo kupitia kipindi cha Kipenga kutoka East Africa Radio, wakati akihojiwa na mtangazaji Tom Chilala na kusema Niyonzima aondoke tu Yanga bila wasiwasi wowote kwani ana uhakika wa kupata mchezaji mwingine wa kuziba nafasi yake.

"Mwache aende tu, Yanga ni timu kubwa na walipita wachezaji wengi zaidi yake kama vile 'Computer' na wengine wengi ambao walikuwa wazuri lakini timu iliendelea kubaki na kufanya vizuri" alisema Akilimali.

Pamoja na hayo, Mzee Akilimali amesema endapo uongozi wa Yanga utaweza kusema umeshindwa kufanya kazi zake ipasavyo basi wamuite yeye ili waweze kukaa chini na kuzungumza wapate muafaka mzuri katika klabu yao.

"Kiongozi waliyokuwepo madarakani kwanini hawatamki kuwa sisi tumeshindwa ebu watamke basi na nina kwambia wakitamka tu leo Niyonzima atarudi" alisisitiza Mzee Akilimali. 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa