Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwambusi apania kuikamata Simba kileleni

Jumatatu , 16th Jan , 2017

Klabu ya Yanga kesho itashuka dimbani kuchuana na klabu ya Majimaji ya Songea katika mchezo wa raundi ya 18 wa ligi kuu Tanzania Bara ambapo Yanga wamejipanga kupunguza 'gap' kati yao na Simba ambao kwa sasa wapo kileleni mwa ligi wakiwa na point 44

Kocha Msaidizi wa Yanga, Juma Mwambusi

Licha ya kuwa na na majeruhi wannne kocha msaidizi wa klabu hiyo Juma Mwambusi amesema wamejipanga vyema na wamewaandaa vyema wachezaji wao kushinda mchezo huo wa ugenini ili kupunguza gap yao na Simba.

"Kikosi kinasumbuliwa na Majeruhi lakini waliopo watafanya kazi na tumewaandaa vyema kushinda mchezo huo ugenini". Alisema kocha msaidizi wa klabu hiyo Juma Mwambusi 

Katika mchezo wa kesho dhidi ya Majimaji Yanga itawakosa wachezaji wake watano kutokana na kuwa majeruhi mbalimbali akiwemo Donald Dombo Ngoma, Malimi Busungu, Obrey Chirwa, Justin Zullu na Emanuel Martin.

Yanga wanashika nafasi ya pili katika ligi kwa pointi 40 huku Simba wakiwa kileleni kwa pointi 44.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea