Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwakalebela azungumzia nafasi ya Dismas Ten Yanga

Jumatano , 14th Aug , 2019

Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Fredrik Mwakalebela amemaliza utata juu ya tetesi za uongozi wa klabu hiyo kutokuwa na maelewano mazuri na Kaimu Katibu Mkuu wake, Dismas Ten.

Fredrick Mwakalebela (katikati), Dismas Ten (kushoto) na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, Araphat.

Akizungumza kwenye mkutano na wanahabari, amakao makuu ya klabu hiyo jana, Mwakalebela amesema kuwa hakuna mgogoro wowote kati ya uongozi na Dismas na kwamba yeye kwa sasa anafanya kazi ya Ukaimu Katibu Mkuu na siyo ya usemaji/Afisa Habari.

"Dismas Ten ni Kaimu Katibu Mkuu wa klabu ya Yanga kwahiyo kuna majukumu anayafanya kwa mujibu wa maagizo na kwa hivi sasa yeye si msemaji tena wa Yanga. Anachokifanya ni kutekeleza maagizo kutoka kwa Mwenyekiti kupitia kwa Makamu Mwenyekiti hadi kwake", amesema.

"Sekretarieti mpya inakuja na kama mnavyofahamu tumeshatangaza nafasi za kazi na mchakato unakwenda vizuri, tukishapa mtaiona safu nzima ya uongozi", ameongeza.

Aidha Mwakalebela ameitaja idara mbalimbali za uongozi ndani ya klabu hiyo ambazo zitajazwa watu hivi karibuni. Miongoni mwa nafasi hizo ni pamoja na Katibu Mkuu wa klabu, Mkurugenzi wa Sheria na Wanachama, Mkurugenzi wa Mashindano, Mkurugenzi wa Ufundi, Idara ya Fedha na Utawala pamoja na Idara ya Masoko na Mauzo ambayo ndani yake itakuwa na kitengo cha Habari na Mawasiliano.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa