Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchenga, Tamaduni, Dribblers, Dallas wasonga mbele

Jumapili , 15th Sep , 2019

Michuano ya Sprite Bball Kings imeendelea tena kwa leo katika Uwanja wa Ndani wa Taifa, kwa hatua ya robo fainali kupigwa ambapo miamba nane imeshuka dimbani kutafuta timu 4 za nusu fainali.

Robo fainali Sprite Bball Kings 2019

Katika mchezo wa kwanza kati ya KG Dallas na Water Institute umemalizika kwa KG Dallas kuibuka na ushindi wa vikapu 91 dhidi ya 84 na kuwa timu ya kwanza kufuzu nusu fainali, huku Michael Mbaga wa Water Institute akiongoza kwa kufunga jumla ya pointi 31.

Mchezo wa pili umemalizika kwa Flying Dribblers kuibuka na ushindi wa vikapu 90 dhidi ya vikapu 77 vya Dream Chasers. Mchezaji Jackson Vasco wa Flying Dribblers akiongoza kwa kufunga pointi 24 na katika mchezo wa tatu, Tamaduni imeibuka na ushindi wa vikapu 102 dhidi ya vikapu 67 vya Ukonga Hitmen. Stephano Mshana wa Tamaduni akiongoza kwa kufunga pointi 33.

Mchezo wa mwisho uliowakutanisha mabingwa watetezi Mchenga Bball Stars na TMT ( The Money Team ) umeisha kwa Mchenga kuibuka na ushindi wa vikapu 91 kwa vikapu 61 vya TMT, huku Baraka Sadick akiibuka mfungaji bora wa mchezo akifunga jumla ya  pointi 25.

Droo ya hatua ya nusu fainali inatarajia kupangwa kesho Jumatatu, Septemba 16 katika ofisi za EATV na EA Radio, katika kipindi cha Kipenga Extra, saa 6:00 Mchana.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani