Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbeya City yashtukia 'wapiga dili' mauzo ya jezi

Ijumaa , 13th Jan , 2017

Timu ya Mbeya city ya jijini imeahidi kudhibiti suala la uuzwaji holela wa jezi za timu hiyo , kutokana na kuwepo kwa watu ambao wanauza na kutengeneza jezi hizo bila kuwepo kwa makubaliano yoyote.

Mashabiki wa Mbeya City

Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa Timu hiyo, Emmauel Kimbe wakati wa kikao cha kujadili mustakabali wa soka, Mkoa wa Mbeya, ambapo amesema kuwepo kwa tabia hiyo kumekosesha mapato katika timu hiyo.

Aidha wadau wa soka mkoa wa Mbeya akiwemo Elizabet Mwanguku wameeleza masikitiko yao juu ya kushuka kwa viwango vya mpira kwa timu za Mbeya City na Prison, na kusisitiza kuundwa kwa Kikosi kazi kitakachoshughulikia masuala ya Soka.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla, ambaye alikuwa Mwenyekiti katika kikao hicho amesema kuwa furaha yake ni kuona mkoa unaongeza timu nyingi zitakazoshiriki ligi kuu Tanzania bara.

Wasikilize hapa chini wakieleza undani wa hili...........................

 

HABARI ZAIDI

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji