Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mazingira yalitutesa- Lwandamina

Jumatatu , 11th Sep , 2017

Kocha Mkuu wa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Young Africans, George Lwandamina amefunguka na kudai walilazimika kubadili mbinu za mchezo kutokana na hali ya mazingira kuwa tofauti na wao walivyozoea.

Kocha Mkuu wa Yanga mwenye uraia wa Zambia, George Lwandamina.

Lwandamina ameeleza hayo asubuhi ya leo kupitia ukurasa wao maalum wa klabu baada ya timu yake kutoka kifua mbele siku ya jana (Jumapili) kwa kuwachakaza Njombe Mji FC kwa bao 1-0 lililofungwa na mshambuliaji Ibrahim Ajib kwa kutumia mkwaju wa adhabu.

"Tulijua utakuwa mchezo mgumu, kipindi cha pili tulilazimika kubadili mbinu ili kukabiliana na mazingira. Nawashukuru wachezaji hakika walifanya kazi kubwa dakika zote 90 za mchezo", amesema Lwandamina.

Kwa upande mwingine, timu ya Mtibwa Sugar kwa sasa ndiyo ambayo inaongoza ligi kwa mujibu wa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa pointi sita, akifuatiwa na Simba SC kwa pointi nne, Tanzania Prisons alama nne.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa