Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kipigo kipo pale pale- Muddy Mchenga

Ijumaa , 18th Aug , 2017

Nahodha wa timu ya Mchenga BBall Stars, Mohammed Yusuph 'Muddy' amefuguka kwa kudai kufungwa ni moja ya njia ya wao kujifunza na kujiweka sawa katika hatua nyingine ya mashindano ambayo yapo mbele yao.

Nahodha wa timu ya Mchenga BBall Stars, Mohammed Yusuph 'Muddy'.

Muddy ameeleza hayo baada ya wao kuchapwa kwa pointi 87-78 na wale waliokuwa wanawadharau na kuwaita vibonde katika michuano ya Sprite BBall Kings ambapo kwa sasa imefikia hatua ya fainali game 2.

"Ukifungwa ni njia moja wapo ya kujifunza katika game inayofuata, kwa kuwa bado tupo katika mashindano na 'best of five'. Tunaenda katika game ya 3 hapo kesho tutaona nani atashinda ila bado tuna nafasi kubwa ya kuwa mabingwa", alisema Muddy.

Pamoja na hayo, Muddy aliendelea kwa kusema "Kilichopelekea mpaka tumefungwa ni kutokana na sisi kucheza kwa kujiachia sana lakini kipigo kipo pale pale", alisisitiza Muddy.

Katika mchezo wa pili Muddy alionekana kukabwa sana na wachezaji wa TMT jambo ambalo lilipelekea Nahodha huyo kushindwa kufurukuta kama anavyokuwaga katika michezo iliyopita katika mashindano haya ya Sprite BBall Kings. 
 

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu