Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Huyu ndiye mpinzani wa Azam Kombe la Shirikisho

Jumapili , 19th Feb , 2017

Klabu ya FC itacheza dhidi ya Mbabane Swallows Swaziland katika mchezo wa raundi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika (CC) utakaofanyika mwezi ujao.

Azam FC inakutana na timu hiyo baada ya Waswaziland hao kuwatoa Orapa United ya Botswana kwa mikwaju ya penalty 3-2 katika mchezo wa marudiano wa raundi ya awali uliofanyika kwenye Uwanja wa Mbabane nchini Swaziland.

Mchezo huo ulilazimika kwenda hatua ya changamoto ya mikwaju ya penalti kufuatia dakika 90 kumalizika kwa timu hizo kwenda sare ya bao 1-1 kutokana na kila timu kushinda ugenini, Mbabane ikishinda 1-0 nchini Botswana kabla ya jana jioni nao kupigwa 1-0.

Azam FC iliyojiwekea malengo ya kufika hatua ya makundi ya michuano hiyo mwaka huu, itaanza kuivaa timu hiyo nyumbani (Azam Complex) Machi 12 mwaka huu kabla kumalizia ng’we ya pili ugenini kati ya Machi 17,18 na 19.

Mshindi wa jumla wa mchezo huo, atasonga mbele kwa hatua ya mwisho ya mtoano (play off) na kukutana na moja kati ya timu 16 zitakazokuwa zimetolewa kwenye raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, mechi za kwanza zikifanyika kati ya Aprili 7, 8 na 9 na zile za pili zikipigwa kati ya Aprili 14, 15 na 16.

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke