Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Droo ya Parimatch kuwanufaisha vijana

Ijumaa , 2nd Dec , 2022

“Mimi niendelee kuwasisitizia tu wadau wa michezo ya kubahatisha kuwa wasipotezee hii bahati ya kushiriki katika shindano letu la Chomoka na Ndinga maana kila siku tunatoa simu janja mbili na mwisho wa wiki tunatoa pikipiki mbili na mwisho wa shindano hili kutakuwa na zawadi kubwa ya gari

Na Mwandishi Wetu,

Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch Tanzania yawaasa wateja wake kuendelea kushiriki katika kampeni yao ya ‘Chomoka Na Ndinga’ ili wajiweke karibu katika kinyanganyiro cha kuwania gari mpya mpya na ya kisasa kabisa, simu janja pamoja na bodaboda.

Hayo yamewekwa wazi na Afisa Habari wa Parimatch Tanzania na Ismael Mohamed wakati alipokuwa akizungumza kwenye hafla fupi ya kukabidhi zawadi ya pikipiki kutoka katika droo ya kwanza ya shindano la Chomoka na Ndinga.

“Mimi niendelee kuwasisitizia tu wadau wa michezo ya kubahatisha kuwa wasipotezee hii bahati ya kushiriki katika shindano letu la Chomoka na Ndinga maana kila siku tunatoa simu janja mbili na mwisho wa wiki tunatoa pikipiki mbili na mwisho wa shindano hili kutakuwa na zawadi kubwa ya gari mpya kabisa aina ya Urban cruiser kutoka Toyota”, alisema Ismael.

Aidha, Ismael alisema kuwa kampuni ya Parimatch imekuja kuwaletea neema wadau wote ambao wanapendelea michezo ya kubashiri huku akisisitizia kuwa huu ndio mwaka wa kulala masikini na kuamka tajiri kwa kubashiri na Parimatch.

Kwa upande mwingine, Kampuni ya Parimatch ndio kinara wa michezo ya kubashiri mtandaoni na imekuwa ikitoa ofa kubwa ya bonasi ya 100% mpaka TZs 1,000,000 kwa wateja wapya wanaojiunga nasi! Parimatch imekuwepo nchini Tanzania tangu mwaka 2019, ikitoa huduma nzuri ikijumuisha malipo ya haraka, odds kubwa na promosheni za kusisimua kwenye soka, Kasino na Michezo ya virtual. Mbali na soka, kampuni ya Parimatch pia hutoa mamia ya matukio kila siku kwenye tenisi, UFC, mpira wa vikapu, Kriketi, baseball na michezo mingine mingi ya Live na pre-match.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani