Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Djokovic, Nadal kuminyana nusu fainali French Open

Alhamisi , 10th Jun , 2021

Mcheza tennis namba moja Novak Djokovic raia wa Sebia ataminyana na Rafael Nadal wa Hispania kwenye mchezo wa nusu fainli ya michuano ya wazi ya Ufaransa, baada ya wote wawaili kushinda micho ya robo fainali jana usiku.

Novak Djokovic wa kushoto, akiwa na Rafael Nadal

Djokovic mshindi wa michuano hii mara moja mwaka 2016 amefuzu hatua ya nusu fainali baada ya kuibuka na ushindi wa seti 3-1 ( 6-3 6-2 6-7 (5-7) 7-5) dhidi ya Matteo Berretini raia wa Italia. Sasa katika hatua ya Nusu fainali Djkovic atakutana na Rafael Nadal ambaye ni bingwa mara 13 wa michuano hii.

Nadal ambaye ni mchezaji namba tatu kwa ubora ametinga nusu fainali baada ya kumfunga Diego Schwartzman raia wa Argentina kwa ushindi wa seti 3-1, (6-3 4-6 6-4 6-0 ), ni kwa mara ya 14 Nadal raia wa Hispania anatingwa hatua ya nusu fainali ya French Open lakini pia akiwa anauwinda ubingwa wa 14.

Wawili hawa watakuwa wakikutana kwa mara ya 58, Djokovic akiwa ameshinda mara nyingi zaidi mara 29 wakati Nadal ameshinda mara 28.

Mshindi wa mchezo huu wa busu fainali atakutana na mshindi wa mchezo mwingine wa nusu fainali ambao unawakutanisha Stefanos Tsitsipas raia wa Ugiriki dhidi ya mjerumani Alexander Zverev.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa