
Mshambuliaji wa Tottenham Hotspurs, Harry Kane.
Nahodha huyo wa England mwenye miaka 27, Nia yake ya kuondoka Spurs inatarajiwa kushika hatamu mwiashoni mwa msimu huu, Huku vilabu vya Manchester City, Manchester United, Chelsea na PSG vinasemekana kuvutiwa na mchezaji huyo ambaye anathamani ya paund milioni 150 bei iliyowekwa na mwenyekiti wa Spurs Daniel Levy.