Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Camelo Anthony kuweka historia ya kibabe NBA ?

Jumatatu , 3rd Mei , 2021

Nyota wa timu ya kikapu ya Portland Trail Blazers, Camelo Anthony huenda akaingia kwenye orodha ya kumi bora ya wana kikapu wenye alama nyingi kwenye historia ya Ligi ya hiyo nchini Marekani atafanikiwa kupata alama 23 dhidi ya Atalanta Hawks usiku wa kuamkia kesho.

Nyota wa timu ya kikapu ya Portland Trail Blazers, Camelo Anthony.

Camelo mwenye misimu 18 ya NBA, kwasasa anashika anafasi ya 11 kwenye orodha ya wana kikapu wenye alama nyingi kwenye historia ya NBA akiwa na alama 27, 303 na akifanikiwa kupata alama 23 basi atampiku Elvin Hayes aliyepo nafasi ya kumi akiwa na alama 27, 313. 

Kinara wa kuvuna alama nyingi ni gwiji wa mchezo huo, nyota wa zamani wa Milwaukee Bucks na Los Angeles Lakers, Kareem Abdul-Jabbar mwenye alama 38, 387 akifuatiwa na nyota wa zamani wa Utaj Jazz na Los Angeles Lakers, Karl Malone mwenye alama 36,928.

Lebron James ambaye kwa sasa anakipiga kwenye timu ya Los Angeles Lakers anashika nafasi ya tatu akiwa na alama 35,299 na kumuacha mbali Camelo Anthony anayelazimika kuvuna alama 11, 084 kumfikia kinara Jabbar na alama 7,996 kumfikia Lebron ambaye bado anacheza.

Mbali na mchezo wa Portland dhidi ya Atalanta, NBA itaendelea leo kwa michezo mingine 7 ambapo, mabingwa watetezi LA Lakers watakuwa na kibarua kigumu mbele ya Denver Nuggets wakati Sun Antonio Spurs watacheza na Utah Jazz vinara wa magharibi saa 11:00 Alfajiri kesho.

Vinara wa upande Mashariki, Philadelphia watakipiga na Chicago Bulls saa 11:00 alfajiri pia, wakati ambao New Orleans Pelicans watachuana na Golden State Warriors saa 8:30 usiku wa kuamkia kesho.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa