Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jux aweka wazi atakachofanya akikutana na Chid

Alhamisi , 21st Feb , 2019

Baada ya Chid Benz kusema kuwa Jux anabebwa na siyo msanii mzuri, Jux ameibuka na  kusema siku akikutana na Chid Benz uso kwa uso halafu akamuambia hayo maneno ndo atakapomjibu.

Jux

Akiongea kupitia eNewz, Jux amesema kwamba hajasikia chochote ambacho Chid Benz amepanga na anamchukulia Chid kama kaka yake na popote atakapokutana naye ataendelea kumuheshimu kama kaka yake kwa kuwa hajawahi kuona akimvunjia heshima wakiwa pamoja tangu amemfahamu.

"Maneno yameongelewa mengi sana na siamini kama kuna wasanii ambao hawapendi mafanikio yangu kwa mfano Chid Benz  ni mtu ambaye tunaheshimiana sana na nimeambiwa na watu wengi kwamba ameongea kwamba mimi ninabebwa siwezi kukasirika kwa kuwa Chid ni mtu ambaye haniogopi ananiambia chochote hivyo kama kuna tatizo kati yetu naamini akikutana na mimi ataniambia 'live" aliongea Jux.

Lakini pia Jux amemalizia kwa kusema kwamba collabo yake na Nyashinski ni  kubwa sana ambayo amewekeza pesa yake nyingi na kusema sababu ya yeye kuifanyia Video Nairobi ni kutokana na maeneo aliyokuwa anayawaza ambayo mwanzoni ilitakiwa kuwa Afrika ya Kusini.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu