Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Ukimwi hauna nguvu kwa Kristo" - Nabii Tito

Jumanne , 15th Dec , 2020

Mtumishi wa Mungu Nabii Tito amesema kwa sasa yupo katika kampeni nzito inayoitwa hatua ya kwenda mbinguni na kampeni hiyo ipo kwa ajili ya kupinga vita mitume na manabii matapeli.

Picha ya Nabii Tito

Nabii Tito amesema atawataja mitume na manabii hao kwa Serikali ili iwashughulikie kwani wanatumia dini kuwapigia watu na sio kuhubiri kuhusu kuacha dhambi.

"Baada ya kumaliza kampeni ya chama na kufanya nchi iwe ya kijani, sasa hivi nipo katika kampeni kali sana inayoitwa hatua ya kwenda mbinguni, hiyo ni kampeni ya kupinga vita mitume na manabii matapeli

"Sitaki kabisa kuzungumzia mambo mengine zaidi ya kupiga vita matapeli,  wanatumia dini kuwapiga watu na kuuza vitu, nataka niwataje wote ili Serikali ya kijani iwashughulikie maana hawahubiri watu waache dhambi bali wanahubiri ili wapate vitu" ameeleza Nabii Tito 

Aidha amesema yupo katika harakati za watu waache dhambi ili magonjwa yote yakimbie, pia amewataka vijana waokoke kwani ukimwi kwa Kristo hauna nguvu na takwimu zimeongezeka kwa sababu watenda dhambi wameongezeka.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani