Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Silaha kubwa 2 za mwanamke zinazomteka mwanaume

Jumatano , 10th Jul , 2019

Katika mazingira ya kawaida hakuna binadamu ambaye hakosi wivu, kwa sababu uko kiasili na ni muhimu katika masuala mbalimbali.

Wapenzi

Lakini wivu ukizidi huwa na hasara zake, kwa leo tunaangazia wivu hasa katika mahusiano ya kimapenzi ambapo kupitia DADAZ ya EATV, Mtaalamu wa Saikolojia ya mwanadamu, Cosmas Madulu ameeleza faida na hasara za wivu katika mahusinao.

Kwanza bwana Cosmas anasema kuwa wivu unahitajika sana katika mahusiano, mmoja wapo katika mahusiano akiwa hana wivu kwa mwenzie basi ana tatizo la kisaikolojia lakini ukizidi pia ni hatari kwa wahusika,"wivu ni chakula cha nafsi ambacho kinamfanya mwanadamu kujihisi yuko salama. Faida ya kwanza inamfanya mtu kuwa salama, wanaume wana shida ya macho ya kupenda kila kitu kizuri wanachokiona kwahiyo anahitaji mwanamke ambaye anatmfanyia wivu ili amuweke salama", amesema Madulu.

Pia ameongeza kuwa faida ya pili ya wivu ni kuleta heshima katika mahusiano au ndoa. Kwenye faida za wivu katika mahusiano, bwana Madulu amesema, "wivu ukipitiliza unapelekea mauaji, mtu anaweza kutenda jambo ambalo halikutarajiwa kutokana na akili yake kufunikwa na hisia kubwa. Napenda mfahamu pia lugha 5 za mahusiano ambazo ni maneno matamu, kutumia muda pamoja", ameongeza.

Amemalizia kwa kuzitaja silaha kubwa mbili ambazo endapo mwanamke atazitumia, atadumisha mahusiano au ndoa yake, silaha hizo ni ngozi yake na masikio yake.

Tazama video zaidi hapa chini akizielezea.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja