Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Neuralink yafanikiwa kupandikiza chip

Jumanne , 30th Jan , 2024

Kampuni ya Neuralink inayomilikiwa na tajiri nambari mbili duniani, Elon Musk imefanikiwa kupandikiza kifaa cha kiteknolojia kwenye ubongo wa mwanadamu.

 

 

Ingawa hajatoa maelezo kamili ya mgonjwa wala kifaa hicho, ila inatajwa kuwa ni hatua muhimu kwa kifaa kinachoitwa ‘Telepathy’, chenye uwezo wa kumruhusu binadamu kutumia simu au kompyuta kwa njia ya kufikiria.

Akieleza kuhusu upandikizaji huo kupitia mtandao wa X Elon ameeleza kuwa Binadamu wa kwanza amepokea kipandikizi kutoka Neuralink mapema siku ya juz kwa mujibu wa kampuni hiyo mtu huyo na anaendelea vizuri

 

Kampuni hiyo ilipata idhini kutoka mamlaka ya chakula na dawa ya Marekani (FDA), kufanya jaribio lake la kwanza mwaka jana ambapo ilitangaza kutafuta watu wa kujitolea kupandikizwa.

 

Kupitia Neurotechnology iliyoanzishwa na bilionea huyo mwaka 2016, kampuni hiyo inalenga kujenga njia za mawasiliano ya moja kwa moja kati ya ubongo wa mwandamu na kompyuta.

 

Picha: viniloblog.com

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani