Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Namthamini 2022 yaanzia Mtwara

Jumatano , 21st Sep , 2022

Kampeni ya Namthamini inayoendeshwa na East Africa TV na East Africa Radio imeanza kugawa taulo za kike kwa wanafunzi, na msimu huu imeanzia katika mkoa wa Mtwara.

Wa pili kutoka kushoto Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Mhe Dustan Komba akipokea taulo za kike kutoka kwa wafanyakazi wa East Africa TV na East Africa Radio.

Wanafunzi wa shule za sekondari Mikindani na Mitengo zilizopo katika wilaya ya Mtwara, walikabidhiwa taulo za kike pakiti 862.

Pia kampeni hii ikafika katika shule za sekondari Naliendele na Mangamba ambapo wanafunzi wa shule hizo walikabidhiwa taulo za kike jumla ya pakiti 969.

Jumla ya shule nne za sekondari katika wilaya ya Mtwara zilikabidhiwa taulo za kike siku moja ambazo ni Mikindani, Mitengo, Naliendele na Mangamba

Elimu kuhusu hedhi salama ni muhimu katika kuboresha umakini na ufaulu kwa wanafunzi wa kike mashuleni. Kupitia kampeni ya Namthamini licha ya kusaidia wanafunzi taulo za kike, pia hutoa elimu ya hedhi salama kwani itasaidia wanafunzi wa kike namna ya kujitunza na hata wanapokuwa katika siku za hedhi wanakuwa katika mazingira salama na watakuwa wanaendelea na masomo yao bila changamoto yoyote.

 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani