Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mke wa Chris Mauki atoa neno kwa wanaume

Jumamosi , 6th Jun , 2020

Mshauri wa Mahusiano, Familia na Malezi ambaye pia ni mke wa Mshauri wa masuala ya Kisaikojia Chris Mauki, Miriam Mauki amesema kuwa sababu kubwa inayopelekea wanaume kutembea na wasichana wa kazi ni kutokana na kwamba wasichana hao ni wanyenyekevu kuliko hata wake zao.

Mshauri wa Mahusiano, Familia na Malezi, Miriam Mauki.

Miriam ameyabainisha hayo leo Juni 6, 2020, wakati akizungumza kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio, na kuongeza kuwa wanawake wengi wanapokuwa na wasichana wa kuwasaidia kazi huwa wanajisahau kutekeleza majukumu yao kwa kiasi kikubwa na badala yake wanabaki kushinda kwenye mitandao badala ya kuwahudumia waume zao.

"Mahusiano ya mapenzi kati ya Dada wa kazi na Baba, yanakuja kwa sababu ya unyenyekevu na mwanaume anapenda mwanamke mnyenyekevu, mara nyingi unakuta aliyeolewa anajisahau, hivyo mwanaume anaona Dada anamheshimu kuliko mkewe hivyo anamlipa fadhila" amesema Miriam.

Aidha Miriam ameongeza kuwa wanaume wanapofanya hivyo, siyo kwamba wanakuwa wanawapenda bali husukumwa na hisia za unyenyekevu wanaoupata, "Baba anapoanzisha mahusiano na msichana wa kazi siyo kwamba anampenda, lakini ule unyenyekevu unamvutia hisia za kuwa naye na anapomaliza haja zake anabaki kumuangalia kama mtu fulani tu, hata ukiangalia kwenye Guest House anayetangulia ni mwanaume kwa sababu hawezi kuvumilia kukaa pale sababu ile presha imeshaisha".
 

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji