Kushoto ni Mchungaji mtangaza muujiza
Kupitia videoyako hiyo mtandaoni, mchunga kondoo huyo aliamuru simu ziingie chaji bila kuchomekwa kwenye umeme.
Hivi sasa kumekuwa na wimbi kubwa la wachungaji ambao wamekuwa wakifanya matukio mbalimbali kwa waumini wao wakiita miujiza, ikiwemo kuwanywesha jiki waumini, kuchapisha nguo za ndani zilizo na sura zao, kuwaogesha pamoja na mambo mengine.