Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mary Nagu ajivunia Namthamini

Alhamisi , 1st Aug , 2019

Mbunge wa Hanang Mh Mary Nagu, ameipongeza East Africa Television na East Africa Radio kupitia kampeni ya Namthamini na kudai kuwa tangu ameshiriki kwenye mwaka wa kwanza amekuwa akiona mafanikio ya kampeni hiyo.

Timu ya Namthamini ikiwa na Mbunge wa Hanang Mary Nagu (katikati) ofisini kwake Hanang.

Akiongea ofisi kwake mbele ya timu ya Namthamini ambayo ilikuwa wilayani humo kwaajili ya kugawa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule za Sumaye na Simbay, Nagu amesema anajivunia kampeni ya Namthamini kwani inatengeneza viongozi wanawake wa baadaye.

''Nakumbuka nilishiriki kwenye awamu ya kwanza, na tangu hapo nimekuwa nikifuatilia mnavyoendelea kuwathamini wasichana wetu shuleni kiukweli ni jambo la kupongezwa na msiache endeeleni hivyo hivyo na sisi tutawaunga mkkono kadri tunavyoweza'', amesema.

Kampeni ya Namthamini kwa mwaka 2019, imefanikisha wanafunzi wa kike zaidi ya 300, kupata taulo za kike kwa mwaka mzima ndani ya  Wilaya ya Hanang.

Wanafunzi hao wanatoka katika shule ya sekondari Simbay ambayo ni ya kutwa pamoja na shule ya sekondari Sumaye ambayo ni ya kutwa na bweni. Wasichana takribani 70 wanaotoka mbali wanakaa bweni.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea