Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mambo matano kuhusu Shangazi Fatma Karume

Ijumaa , 7th Aug , 2020

Kupitia kipindi cha SalamaNa inarushwa na East Africa TV kila Alhamisi kuanzia 3:00 usiku, Mwanasheria na Wakili wa kujitegemea Fatma Karume "Shangazi" amefunguka mambo mengi yanayomuhusu kuanzia siasa, sheria, familia, kazi na mahusiano.

Mwanasheria Fatma Karume "Shangazi"

Sasa haya hapa ni mambo matano ambayo ameweza kuyasema wakati anafanyiwa mahojiano na mtangazaji Salama Jabir "Ece Jay".

Kuvaa nguo nyeupe

Fatma Karume amesema ukiweka ahadi lazima utimize hivyo yeye ameweka nadhiri ya kuwa ataendelea kuvaa nguo nyeupe mpaka siku ya kupiga kura na hapendi kutofautishwa na wengine.

Vitu anavyopenda kuvifanya nje ya kazi zake 

Mimi Naweza kushona nguo zangu mwenyewe kwa kutumia Cherehani na najifunzia kwenye YouTube, napika udi mzuri, jam, nasoma sana hasa muda wa sasa na kazi yangu ya sheria inanifanya kusoma sana” amesema Fatma Karume 

Kadi ya uanachama 

Fatma Karume amesema hana kadi ya chama chochote pia hajawahi kuomba wala kusaini kutaka kuwa na chama chochote, pia ameongeza kusema ni uhuru wake kutaka kuwa na chama au la.

Kifo cha Babu yake Mzee Abeid Amani Karume

Kwenye familia yao wamezaliwa watoto 6 na yeye ndiyo mtoto wa kwanza kuzaliwa, kuhusu kifo cha Babu yake Mzee Abeid Amani Karume amesema alikuwa na miaka mitatu, na anaikumbuka hiyo siku lakini hakuwa na fikra za kuelewa wakubwa wanachofikiria.

Ofisi yake kupigwa Bomu 

Moja kati ya tukio baya lililomtokea ni ofisi yake kupigwa bomu mida ya saa 8 usiku mwezi August 2017 na mpaka leo hajapewa ripoti ya polisi nani aliyefanya tukio hilo.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa