Jumatatu , 30th Mei , 2022

Mama mzazi wa mwanamke aliyefahamika kwa jina la Swalha ambaye ameuawa kwa kupigwa risasi saba kichwani na mume wake kwa sababu ya wivu wa mapenzi amesimulia mkasa mzima kilichopelekea kifo cha mwanaye.

Picha ya Marehemu Swalha akiwa na mume wake

Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo huko Jijini Mwanza na ndoa yao ilidumu kwa muda wa miezi mitano.

Zaidi tazama hapa kwenye video Mama wa Swalha akizungumzia zaidi.