Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Madee aeleza mwanae alivyopata shida ya Hedhi

Ijumaa , 28th Mei , 2021

Leo Mei 28 ni siku ya Hedhi Duniani ambapo East Africa TV na East Africa Radio imezindua Kampeni yake ya Namthamini ambayo itasaidia kutoa taulo za kike Elfu 5 kwa watoto wa kike wenye uhitaji hapa nchini Tanzania.

Picha ya msanii Madee

Katika kampeni hiyo iliyofanyika leo imezinduliwa na watu maarufu na wasanii kama Madee, Mwasiti, Chris Mauki na Devotha David ambaye ameanza kwa kutoa box saba zenye taulo za kike (pedi). 

"Mwaka jana nilisafiri na mwanangu wa kwanza ambaye yupo Form One, tulifika sehemu kula na kunywa vinywaji, wakati tumekaa kuna mdada akanifuata kuniomba mtoto wangu, akamchukua na kuelekea Toilet, baadae akatoka kuniuliza nina elfu 5" 

"Nikamuuliza ya nini akasema anataka kununua kifaa, Yeye mwenyewe aliogopa kuniambia nikampa ile pesa ila tayaru nilikuwa nimeanza kuhisi kitu, baadae akaniambia kwamba mwanangu amejichafua"

"Nilivyorudi nikamuacha kwa mama yake ili aongee nae kwamba amejichafua, baadae mama yake akanipigia simu huku analia kwamba mtoto amekuwa na amevunja ungo, nikamuuliza sasa kama wewe unalia yeye itakuaje" ameeleza Madee 

Katika kampeni hiyo iliyofanyika leo imezinduliwa na watu maarufu na wasanii kama Madee, Mwasiti, Chris Mauki na Devotha David ambaye ameanza kwa kutoa box saba zenye taulo za kike (pedi). 
 

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji