Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kumuongezea mwanamke thamani ni zaidi ya shughuli

Jumanne , 29th Sep , 2020

Siku ya pili ya shughuli rasmi ya kumuongezea thamani mama lishe anayestahili, inayoendeshwa na EATV & EA Radio kwa kushirikiana na mdhamini Jaden Home Store, leo Septemba 29 imemfikia Bi Theopista Joseph.

Kinara Mariam Kitosi na mwakilishi wa Jaden Home Store akimkabidhi zawadi Bi. Theopista Joseph

Bi Theopista ni mama lishe aliyedumu kwenye kazi yake kwa zaidi ya miaka 10 akiuza chakula kwenye korido ya Imalaseko Posta. 

Kutokana na mahitaji yake, shughuli hiyo rasmi ya kumuongezea mama lishe thamani imempatia blenda mpya ya kisasa kutoka Jaden Home Store, ambao ni mshirika rasmi wa mchakato mzima, zaidi wakijihusisha na uuzaji wa vifaa vya umeme vya nyumbani.

''Kwakweli nimefurahi sana na najiuliza kwanini niwe mimi wa kupata zawadi hii hivyo nashukuru sana, kupitia blenda hii natarajia kuanza kutengeneza juisi kwa ajili ya wateja wangu kwani ni wazo ambalo nilikuwa nalo lakini sikuwa nimefanya hivyo, nitakavyokuwa naitumia blenda hii hata kipato kitaongezeka'' - amesema Bi Theopista Joseph.

Aidha Bi Theopista anakuwa mama lishe wa tatu kufikiwa na zoezi hili, huku akilitaja zoezi kuwa suala ambalo limekuja kwa wakati kwa upande wake ambapo amebainisha kuwa motisha aliyoipata itabadilisha sana utajoaji wake wa huduma kwa wateja wake. Zaidi Theopista amewataka mama lishe wenzake kuendelea kuzingatia ubora na usafi.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani