Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kilichokuwepo nyuma ya Monalisa na Amina Chifupa

Ijumaa , 5th Jun , 2020

Muigizaji wa BongoMovie Monalisa, amefunguka kuhusu kushea mwanaume na marehemu Amina Chifupa, ambaye alikuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia CCM, na mwanaume mwenye alikuwa ni marehemu Mohamed Mpakanjia.

Msanii wa filamu Yvonne Cherrie "Monalisa"

 

Akipiga stori kwenye show ya SalamaNa ya East Africa TV inayoruka kila siku ya Alhamisi kuanzia 3:00 usiku amesema  "Mimi na Amina Chifupa tulikuwa marafiki  wazuri, yeye alikuwa anasoma Kisutu mimi Zanaki ila tulikuwa tunakutana sana, kilichotukutanisha zaidi ni Mohamed Mpakanjia,  na mimi binafsi nilianza mahusiano na Mpakanjia kabla ya yeye".

"Baadaye nikaja kusikia ninayetembea naye ni mume wa mtu ila hakuwahi kuniambia kama ana mke, nikaanza kumpunguza na kumpotezea taratibu japo ilikuwa ngumu, halafu nikasikia anatoka na Amina Chifupa na kuna siku Amina alinitafuta akaniambia kwamba hakujua kwamba mimi nilikuwa naye kabla yake" ameongeza.

Aidha Monalisa ameendelea kusema  "Siku anayofariki Amina Chifupa, mimi nilikuwa nimetoka kujifungua mtoto wangu wa pili kwahiyo sikuweza kwenda msibani, iliniuma sana kwa sababu alikuwa ni mchapakazi".

Marehemu Amina Chifupa alifariki Juni 26, 2007, ila aliolewa na mfanyabiashara Mohamed Mpakanjia ambaye naye alifariki mwezi Septemba 2009.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa